Waziri wa Habari, Utamaduni,
Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (katikati nyuma) katika picha ya
pamoja na kikundi cha Utamaduni na Sanaa cha Jiangxi wakati wa uzinduzi
wa Maonyesho ya Utamaduni wa China leo Jijini Dar es Salaam. Watatu
kushoto nyuma ni Kaimu Balozi wa China nchini Tanzania Bw. GOU Haodong.
Washiriki wa Maonyesho ya wiki ya
Utamaduni wa China kutoka Chama cha Mchezo wa WUSHU Tanzania katika
picha ya pamoja wakati wa uzinduzi wa Maonyesho ya Utamaduni wa China
leo Jijini Dar es Salaam.
Picha na: Genofeva Matemu – WHUSM
No comments:
Post a Comment