KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 1, 2016

WAZIRI NAPE AZINDUA WIKI YA UTAMADUNI WA CHINA

uye1
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (katikati nyuma) katika picha ya pamoja na kikundi cha Utamaduni na Sanaa cha Jiangxi wakati wa uzinduzi wa Maonyesho ya Utamaduni wa China leo Jijini Dar es Salaam. Watatu kushoto nyuma ni Kaimu Balozi wa China nchini Tanzania Bw. GOU Haodong.
uye3
Washiriki wa Maonyesho ya wiki ya Utamaduni wa China kutoka Chama cha Mchezo wa WUSHU Tanzania katika picha ya pamoja wakati wa uzinduzi wa Maonyesho ya Utamaduni wa China leo Jijini Dar es Salaam.
Picha na: Genofeva Matemu – WHUSM

No comments:

Post a Comment