KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 7, 2016

WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA JINSI ILIVYOFANA KATIKA BENKI YA CRDB TAWI LA TEGETA KIBO COMPLEX.

 Keki ya kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja katika Benki ya CRDB tawi la Tegeta jijini Dar es Salaam.
 Meneja waenki ya CRDB Tawi la Tegeta Kibo Complex, Richard Mkakala  akisaidiana na wateja wa tawi la CRDB tawi la Tegeta kukata keki kwaajili ya kusheherekea wiki ya huduma kwa wateja jijini Dar es Salaam leo.
 Mteja wa mda mrefu wa CRDB tawi la Tegeta  Kibo Complex akishuhudiwa na wafanyakazi wa Tawi hilo wakati akikata keki kusheherekea wiki ya huduma kwa wateja.
Mteja wa Muda mrefu, John Dilinga (Dj JD) na Mfanyakazi wa Tawi la Tegeta Kibo Complex, Neema Witts wakifungua Shampeini wakati wa hafla fupi ya kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja.

No comments:

Post a Comment