| Mkurugenzi wa M-bet, Dhiresh Kaba(kushoto)akimkabidhi hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 29/- Mkazi
wa shangarai mkoani Arusha, Kaungame Menas(kulia)alizojishindia kupitia mchezo wa kubahatisha wa
M bet. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam leo,katikati ni Msemaji wa M bet,Godluck Wambura. |
No comments:
Post a Comment