Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania
Jenerali Davis Mwamunyange (Kushoto), akimvisha cheo cha Meja
Jenerali,Mkuu wa Kamandi ya Jeshi la Anga Brigedia Jenerali George
William Ingram,Makao Makuu JWTZ Upanga Dar es Salaam.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
Tanzania Jenerali Davis Mwamunyange (kushoto) akimvisha cheo cha Meja
Jenerali Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa Brigedia Jenerali Michael
Isamuhyo, Makao Makuu JWTZ Upanga Dar es Salaam.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali
Davis Mwamunyange (Wa pili kushoto) pamoja na mnadhimu Mkuu wa JWTZ
Luteni Jenerali Salvatory Mabeyo (Wa pili kulia) wakiwa katika picha ya
pamoja na ma Meja Jenerali wapya, Makao Makuu JWTZ Upanga Dar es Salaam.
Picha kwa hisani ya kurugenzi ya habari na uhusiano JWTZ
No comments:
Post a Comment