KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

December 7, 2016

MAJENERALI WAPYA WAVISHWA VYEO MAKAO MAKUU JWTZ


jwt
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Davis Mwamunyange (Kushoto), akimvisha cheo cha Meja Jenerali,Mkuu wa Kamandi ya Jeshi la Anga Brigedia Jenerali George William Ingram,Makao Makuu JWTZ Upanga Dar es Salaam.
jwt-1
 Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Davis Mwamunyange (kushoto) akimvisha cheo cha Meja Jenerali Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa Brigedia Jenerali Michael Isamuhyo, Makao Makuu JWTZ Upanga Dar es Salaam.
jwt-2
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange (Wa pili kushoto) pamoja na mnadhimu Mkuu wa JWTZ Luteni Jenerali Salvatory Mabeyo (Wa pili kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na ma Meja Jenerali wapya, Makao Makuu JWTZ Upanga Dar es Salaam.
Picha kwa hisani ya  kurugenzi ya habari na uhusiano JWTZ

No comments:

Post a Comment