Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Bwana, Laurean Bwanakunu (kushoto) na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha Bi.Jenifa Omolo wakibadilishana hati baada ya kusaini makubaliano
ya umilikishwaji wa eneo la ardhi, lenye ukubwa wa mita za mraba
400,000 Dar es Salaam leo, ambayo itatumika kwa ajili ya ujenzi wa
Kiwanda cha kuzalishia dawa na vifaa tiba Kibaha mkoani Pwani.
Muonekano wa chumba cha mkutano wakati wa hafla hiyo ya kutiliana saini. Pichani ni maofisa kutoka Halmshauri ya Kibaha na MSD.
Ofisa Uhusiano Mkuu wa MSD, Etty Kusiluka, akizungumza wakati akimkaribisha Mkurugenzi wa MSD kuzungumza katika hafla hiyo.
No comments:
Post a Comment