Mkurugenzi
Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Bw. Adam Mayingu, (kushoto),
akizungumza jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya CRDB, Dkt. Charels
Kimei, wakati wa uzinduzi wa ushirikiano baina ya taasisi hizo mbili
ambapo CRDB sasa itawakopesha Wanachama wa PSPF kwenye maeneo ya elimu,
viwanja na pesa za kuanzia maisha kwa watumishi wa serikali. Uzinduzi
huo umefanyika Februari 27, 2017 makao makuu ya PSPF jijini Dar es
Salaam.
No comments:
Post a Comment