Chama
cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza majina ya wanachama wake 12
walioteuliwa kugombea ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki, uchaguzi
unaotarajiwa kufanyika kwenye mkutano wa Bunge ujao.
Akisoma
majina hayo leo wakati wa Mkutano na waandishi wa habari, Katibu wa
Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole amesema kuwa wameteua
wananchama hao miongoni mwa wengi zaidi ya 400 waliokuwa wamechukua fomu
kugombea nafasi hizo.
Mchanganuo
Miongoni
mwa wabunge 9 watakaokwenda Bunge la Afrika Mashariki kuiwakilisha
Tanzania, 6 watatoka CCM. Kufuatia idadi, hiyo CCM imesema kuwa itatoa
wabunge watatu wa kiume na watatu wa kike ambapo miongoni mwao wanne
watatokea Tanzania Bara na wawili watatokea Tanzania Visiwani.
Walioteuliwa kugombea nafasi hizo ni;
Wanawake Tanzania Bara;
Wanaume Tanzania Bara;
Wanawake Zanzibar;
Wanaume Zanzibar;
Miongoni
wa wagombea hawa 12, Bunge litapiga kura kuchagua wabunge sita
watakaoiwakilisha Tanzania kwenye Bunge la Afrika Mashariki kwa tiketi
ya CCM.
|
March 29, 2017
ORODHA YA MAJINA YALIYOPITISHWA NA KAMATI KUU CCM KUGOMBEA UBUNGE AFRIKA MASHARIKI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment