Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt.
Rehema Nchimbi (wa pili kulia) akishiriki kuvua samaki aina ya kambare
kwenye bwawa lililopo kwenye shamba la samaki la Mikumbi mjini hapa
ikiwa ni sehemu ya uzinduzi uvuvi kwenye shamba hilo.
Mkuu wa mkoa wa Singida Dkt.
Rehema Nchimbi (wa kwanza kulia) akitoa maelekezo kwa mmiliki wa shamba
la ufugaji samaki la Mikumbi Bw. Charles Kidua (wa pili kulia) wakati
akikagua shamba hilo lenye mabwawa sita yaliyofungwa samaki aina ya sato
na kambare.
No comments:
Post a Comment