
Mkurugenzi
Mtendaji wa Hospitali ya Taifa (MNH), Profesa Lawrence Museru
akizungumza na wauguzi leo katika maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani
ambayo hufanyika Mei 12,kila mwaka.

Baadhi
ya Wauguzi wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa
Muhimbili (MNH), Profesa Museru katika maadhimisho hayo.

Baadhi ya Wauguzi wakirudia kiapo kwamba wataendelea kutoa huduma kwa wagonjwa kwa kuzingatia uadilifu.

Muuguzi wa Muhimbili, Furaha Tada akitoa mada kwenye maadhimisho hayo leo.

Wauguzi wakifuatilia mada iliyowasilishwa na mmoja wa wauguzi wa hospitali hiyo.

Philonem Kaongo ambaye ni Muuguzi Mkunga akitoa mada kwenye maadhimisho.



No comments:
Post a Comment