KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

May 20, 2017

WAZIRI HAMAD AIPIGIA DEBE ZANZIBAR

unnamed
                                                                                                                                        
Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Zanzibar, Mhe. Hamad Rashid Mohamed (kushoto) akimkabaribisha Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo ya Tanzania (TADB), Bw. Francis Assenga (kulia) wakati walipomtembelea Ofisini kwake mjini Unguja.
A
Mkurugenzi wa Mikopo na Biashara wa TADB, Bw. Augustino Chacha (wapili kushoto) akikaribishwa na Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Zanzibar, Mhe. Hamad Rashid Mohamed (kulia) wakati viongozi wa TADB walipomtembelea Mhe. Waziri Ofisini kwake mjini Unguja. Wengine pichani ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Bw. Francis Assenga (wapili kulia) na Meneja Mikopo wa TADB, Bw. Samuel Mshoto.
A 1
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo anaeshughulikia Kilimo na Maliasili Bibi Maryam Juma Abdullah (aliyesimama) akizungumza wakati ugeni kutoka TADB ulipomtembelea Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Zanzibar, Mhe. Hamad Rashid Mohamed Ofisini kwake mjini Unguja.
A 3
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Bw. Francis Assenga (aliyesimama) akieleza dhima ya Benki ya Kilimo wakati walipomtembelea Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Zanzibar, Mhe. Hamad Rashid Mohamed (wapili kulia).

No comments:

Post a Comment