
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi
na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani akipitia taarifa ya Mradi wa Ujenzi
wa barabara ya Mafinga –Igawa sehemu ya Mafinga –Nyigo KM 74.1 Mkoani
Iringa mara baada ya kukagu mradi huo kulia ni Meneja Mradi huo Richarad
Guo akisisitiza jambo.

Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi
na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani akipata maelezo kutoka kwa Meneja
Mradi wa ujenzi wa barabara ya Mafinga –Igawa sehemu ya Mafinga –Nyigo
KM 74.1 Richarad Guo alipokagua ujenzi huo Mkoani Iringa.

Muonekano wa barabara ya Mafinga
–Igawa sehemu ya Mafinga –Nyigo KM 74.1 ambapo tayari Kilomita 18
zimekamilika kwa kiwango cha lami, ujenzi huo unafanywa na kampuni ya
China Civil Engenering Construction Corporation (CCECC).



No comments:
Post a Comment