KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

May 20, 2017

WAZIRI NGONYANI AMTAKA MKANDARASI KUONGEZA KASI

ig1
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani akipitia taarifa ya Mradi wa Ujenzi wa barabara ya Mafinga –Igawa sehemu ya Mafinga –Nyigo KM 74.1 Mkoani Iringa mara baada ya kukagu mradi huo kulia ni Meneja Mradi huo Richarad Guo akisisitiza jambo.
ig2
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani akipata maelezo kutoka kwa Meneja Mradi wa ujenzi wa barabara ya Mafinga –Igawa sehemu ya Mafinga –Nyigo KM 74.1 Richarad Guo alipokagua ujenzi huo Mkoani Iringa.
ig3
Muonekano wa barabara ya Mafinga –Igawa sehemu ya Mafinga –Nyigo KM 74.1 ambapo tayari Kilomita 18 zimekamilika kwa kiwango cha lami, ujenzi huo unafanywa na kampuni ya China Civil Engenering Construction Corporation (CCECC).
ig4Mafundi wanaojenga barabara ya Mafinga-Igawa  sehemu ya Mafinga –Nyigo KM 74.1 Mkoani Iringa wakiendelea na ujenzi wa karavati kubwa katika eneo chepechepe maarufu Majinja wilayani Mufindi.

No comments:

Post a Comment