Aliyekuwa shabiki maarufu wa Yanga, Ally Said amezikwa leo kwao mjini Shinyanga.
Shabiki huyo alikuwa maarufu kwa
kujipaka masizi na kuweka kitambi cha bandia pale alipokuwa uwanjani
akiishangilia Yanga na wakati mwingine timu za taifa.
Ally maarufu kama Ally Yanga alifariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea Mpwapwa, Dodoma, juzi.
No comments:
Post a Comment