Wizara ya ulinzi ya Urusi inachunguza iwapo shambulio lake la angani nchini Syria lilimuua kiongozi wa kundi la Islamic State.
Wizara
hiyo imesema kuwa shambulio hilo huenda lilimuua Abu Bakr al-Baghdad na
hadi wapiganaji wengine 330 mnamo tarehe 28 mwezi Mei.Inasema kuwa uvamizi huo ulilenga mkutano wa baraza kuu la Islamic State katika mji wa Raqqa ambao ni makao makuu ya Islamic State kaskazini mwa Syria. |
No comments:
Post a Comment