KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

July 28, 2017

MSUVA ATUA SALAMA MOROCCO

 
20294294_469683963411387_8414118435954334079_n
 
Mshambulizi Simon Msuva ametua nchini Morocco salama na kupokelewa na wenyeji wake.
Msuva amesafiri kwenda Morocco kwa ajili ya kumalizana na klabu ya Difaa Al Jadid ya nchini humo.
“Nimefika salama, kwa sasa napumzika kwanza mambo mengine yatafuatia,” alisema Msuva.
Msuva anatarajia kumalizana na kujiunga na Difaa Al Jadid ambayo msimu uliopita ilishika nafasi ya pili na itashiriki Ligi ya Mabingwa Afrika.

No comments:

Post a Comment