Mmiliki wa Blog hii Bw.Barnabas Lugwisha akifurajia jambo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora)Kepteni Mstaafu, George Mkuchika(MB) , ilikuwa juzi Chuo Cha Utumishi wa Umma Tanzania
(TPSC) Magogoni Dar es Salaam , Waziri alitembelea Chuo hicho |
No comments:
Post a Comment