Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) Ndugu Sam Kamanga akizungumza jambo wakati wa Mkutano wa Mameneja wa Shirika la Bima la Taifa unaoendelea mjini Arusha |
Baadhi ya wajumbe wa Bodi ya NIC wakiwa katika mkutano huo wa mameneja wa NIC unaoendelea jijini Arusha |
Picha ya pamoja ya wajumbe wa Bodi na Mameneja wa
Shirika la Bima la Taifa (NIC)unaoendela Jijini Arusha
|
No comments:
Post a Comment