Waziri wa Fedha na Mipango, Dr. Philip Mpango akifurahi pamoja na
baadhi ya washiriki zaidi ya 1000 wakati maadhimisho ya Siku ya VICOBA jijini
Dar es Salaam hivi karibuni. Benki ya NBC ilikuwa mmoja ya wadhamini wakuu wa
maadhimisho hayo.
Katibu Mtendaji wa Baraza la
Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Beng’i Issa akizungumza katika
maadhimisho hayo.
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango (kushoto) akikabidhi
cheti cha shukurani kwa Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Benki ya NBC, Fibert
Mponzi kwa kutambua mchango wa benki hiyo katika kufanikisha maadhimisho ya
Siku ya VICOBA nchini. Katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya
Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Sihaba Nkinga.
No comments:
Post a Comment