KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 20, 2017

NBC YAPONGEZWA KWA KUSAPOTI VICOBA

Waziri wa Fedha na Mipango, Dr. Philip Mpango akifurahi pamoja na baadhi ya washiriki zaidi ya 1000 wakati maadhimisho ya Siku ya VICOBA jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Benki ya NBC ilikuwa mmoja ya wadhamini wakuu wa maadhimisho hayo. 

Katibu Mtendaji  wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Beng’i Issa akizungumza katika maadhimisho hayo.
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango (kushoto) akikabidhi cheti cha shukurani kwa Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Benki ya NBC, Fibert Mponzi kwa kutambua mchango wa benki hiyo katika kufanikisha maadhimisho ya Siku ya VICOBA nchini. Katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Sihaba Nkinga.


No comments:

Post a Comment