WATOTO WANAOLELEWA KATIKA KICHUO CHA CHILD IN THE SUN WAPOKEA MSAADA WA KOPYUTA 10 TOKA VODACOM TANZANIA FOUNDATION
Baadhi ya wafanyakazi
wa Vodacom Tanzania na
watoto wanaolelewa katika kituo cha Child in The Sun cha Mbezi Makabe
jijini Dar es Salaam,Wakiwa wamebeba kompyuta 10 zilizotolewa msaada na
Vodacom
Tanzania Foundation kwa ajili ya mafunzo kwa watoto hao kituoni hapo.
Baadhi ya
watoto
wanaolelewa katika kituo cha Child in The Sun cha Mbezi Makabe jijini
Dar es Salaam,Wakiwa wameshikilia kompyuta 10 walizokabidhiwa msaada na
Vodacom Tanzania Foundation
kwa ajili ya mafunzo yao kituoni hapo
Baadhi ya wafanyakazi
wa Vodacom Tanzania PLC wakicheza na
watoto wanaolelewa katika kituo cha Child in The Sun cha Mbezi Makabe
jijini Dar es Salaam,Walipotembelea kituo hicho kwa ajili ya kukabidhi
msaada wa kompyuta 10 zilizotolewa na Vodacom Tanzania Foundation kwa
ajili ya mafunzo kwa watoto hao kituoni hapo.
No comments:
Post a Comment