KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 3, 2018

LOWASSA ALIVYOFIKA MAHAKAMANI KATIKA KESI YA VIONGOZI WENGINE CHADEMA

 

Viongozi sita wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)  wameshafikishwa Mahakama ya Kisutu tangu saa mbili asubuhi.

Wanachama na viongozi wa Chadema wamekusanyika  ndani na nje ya viwanja vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusubiri hatima ya dhamana ya viongozi hao

Viongozi hao, Mwenyekiti wa Taifa Freeman Mbowe na wenzake watano wanatarajiwa kuachiwa  kwa dhamana leo iwapo watatimiza masharti ya dhamana.

==>>Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa  tayari yuko mahakaman kufatilia kesi hiyo ya mwenyekiti wa chama chake

No comments:

Post a Comment