KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 20, 2018

VODACOM KUSHIRIKIANA NA IFLIX

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Iflix, Paul Coogan (Kushoto)  Vodacom Tanzania Rosalynn Mworia (kulia) wakimsikiliza kwa makini Mkurugenziwa  Kitengo cha Biasharawa Vodacom Tanzania Plc, HishamHendi (katikati) wakati alipokuwaakiongea kwa waandishi wahabari jijini Dar es Salaam, wakati wa uzinduzi wa ubia wa kibiashara baina ya iflixna Vodacom. Wateja wa tapakua application ya Playstore au istore ilikupa ta iflix yenye burudani za Sinema navipindi vya TV   kwa Kupiga *149*01# Kwa sasa kuna vifurushi vya aina tatu, kifurushi cha siku kwa shilingi 1,000, cha wiki kwa shilingi 6,500 cha mwezi kwa shilingi 18,000.

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Iflix, Paul Coogan (Kushoto)  Vodacom Tanzania Rosalynn Mworia (kulia)

Mkutano ukiendelea

No comments:

Post a Comment