Benki hiyo inatuhumiwa kutumia bima binafsi badala ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF).
“Leo tumewaita na tutakutana nao. Baada ya kukutana nao taarifa tutaiwasilisha kwa Spika kama alivyotuagiza," amesema mwenyekiti wa PAC Naghenjwa Kaboyoka ambaye pia ni mbunge wa Same Mashariki (Chadema)
Tuhuma
kuhusu BoT ziliibuliwa na mbunge wa Ulanga (CCM), Goodluck Mlinga Juni
4, 2018 bungeni katika mjadala wa bajeti ya Wizara ya Fedha na Mipango
mwaka 2018/19.
Mlinga amesema BoT inatumia Sh12bilioni kwa mwaka badala ya Sh1bilioni kugharamia matibabu ya watumishi wake.
No comments:
Post a Comment