Mchezaji
wa zamani wa timu ya taifa ya Ivory Coast anayekipiga Liverpool, Kolo
Toure amesema kuwa ataondoka Liverpool kama hatakuwa akipewa nafasi
katika kikosi cha klabu hiyo.
Toure
ambaye ameshawahi kuchezea Arsenal na Manchester City kwa upande wa
kocha wa Liverpool, Judgen Klopp ameshaonekana kuhitaji kuendelea kuwa
na mchezaji huyo ambaye mkataba wake unamalizika mwishoni kwa msmu huu.
“Ni jambo zuri kusikia hivyo kutoka kwa meneja mkubwa (kumbakisha Liverpool),
“Lakini
kama nikipata nafasi kwenye kikosi, nitakuwa na furaha zaidi lakini
kama sitapata haitakuwa na jinsi,” Toure aliwambia BBC Sport.
No comments:
Post a Comment