KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

September 30, 2016

STARTIMES KUBORESHA MIUNDOMBINU YA TBC

sta1
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Moses Nnauye (kushoto) akimsiliziliza Mkurugenzi Mkuu wa Makao Makuu ya  Kampuni ya Startimes kutoka nchini China Bw.Pang  XinXing (kulia) alipofika ofisini kwake  kumweleza mipango ya Kampuni hiyo katika kuendeleza Shirika la Utangazaji la Taifa Septemba 30,2016 jijini Dares Salaam.
sta2
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Moses Nnauye (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Makao Makuu ya Kampuni ya Startimes  kutoka nchini China Bw.Pang  XinXing (kulia) kuhusu kurejea mkataba wa TBC1 na kampuni hiyo kwa lengo la kufanya maboresho ya mkataba leo Septemba 30,2016 ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
sta3
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Moses Nnauye (kushoto) akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Makao Makuu ya Kampuni ya Startimes kutoka China  Bw.Pang  XinXing (kulia) alipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam Septemba 30,2016,kuzungumzia mikakati ya kuendeleza Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC 1).
Anitha Jonas- WHUSM- Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment