Katibu Mkuu Ofisi ya Rais,Utumishi na Utawala Bora
Dk. Laurian Ndumbaro kwa Mameya, Wenyeviti wa Halmashauri, Madiwani na
Waandishi wa Mihutasari wa Vikao vya Halmashauri , wa kwanza kushoto ni
Gulahamfeez Mkadam Mwenyekiti wa Jumuiya za Mamlaka za Serikali za Mitaa (ALAT) ,wa tatu kushoto ni Meya wa Manispaa ya
Morogoro Paschal Kihanga na wa kwanza kulia ni Mkuu wa Chuo Cha Utumishi wa
Umma Tanzania Dk.Henry Mambo. TPSC iliendesha mafunzo hayo kwa kushirikiana na
ALAT.
|
No comments:
Post a Comment