KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 25, 2014

DKT SLAA AKIWASILISHA MADA

Dr Slaa akiwasilisha mada katika mkutano ulioandaliwa na TCD.

Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Willibrod Slaa akiwasilisha mada juu ya ushiriki wa vyama vya siasa katika mageuzi Afrika katika mkutano wa siku nne wa kubadilishana uzoefu kwa vyama vya siasa ulioandaliwa na kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) na kufadhiliwa na Taasisi ya Demokrasia ya vyama vingi ya Uholanzi (NIMD). Mkutano huo unahudhuriwa na vyama kutoka Malawi, Ghana, Uganda na wenyeji Tanzania na kufanyika Zanzibar

No comments:

Post a Comment