Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira, Mhe. Dkt injinia Binilith
Satano Mahenge (wa nne kulia),Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu
Ardhi, Maliasili na Mazingira Mhe. James Lembeli Mb (wa tano ulia),
pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu Ardhi, Maliasili na
Mazingira wakikaguwa mifuko Inayozalishwa na kiwanda cha BinFijaa
kilichopo barabara ya Pugu


No comments:
Post a Comment