Waziri
Mkuu Mizengo Pinda (kulia), akibadilisha mawazo na viongozi wa kampuni ya
Katanja-Neoval Oil, baada ya kusikiliza mada yao. Wa pili kulia ni Rais
wa Kampuni hiyo, Bw. KRZYSZTOF SWIACKI.
Waziri
Mkuu Mizengo Pinda (wa kwanza kulia), akimsikiliza Mkurugenzi wa kampuni ya Katanja-Neoval
Oil, Bw. NICODEMO SWIACKI (kushoto), akiwasilisha mada kuhusu kampuni
yao ambayo inataka kuwekeza Tanzania, kwenye kiwanda cha kusafisha
dhahabu na ujenzi wa hoteli ya kimataifa huko Zanzibar. Wa pili kulia ni
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Dk. Mahadhi Juma Maalim na Naibu Waziri
wa Fedha, Bw. Mwigulu Nchemba.
Waziri
Mkuu Mizengo Pinda (wa kwanza kulia), akiandika maelezo muhimu wakati akimsikiliza
Mkurugenzi wa kampuni ya Katanja-Neoval Oil, Bw. NICODEMO SWIACKI
(kushoto).





No comments:
Post a Comment