Jolly Tumuhirwe, house girl,akionekana katika mkanda wa video kumuadhibu mtoto kwa tochi, amewekwa rumande gereza la Luzira . Jolly Tumuhirwe ameshtakiwa kwa makosa ya kukusudia kuua baada ya kumpiga vibaya mtoto wakati akimnywesha uji, alimpiga kwa mateke na kumsigina kiasi cha kumsababishia maumivu makali.Fred Enanga Msemaji wa Jeshi la Polisi anasema kwamba mashitaka sasa yamebadilishwa na kuwa kusudio la kuua badala mamashitaka ya utesaji ya hapo awali. |
No comments:
Post a Comment