KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

November 26, 2014

HOUSE GIRL ALIYEMTESA MTOTO ABADILISHIWA MASHITAKA RASMI SASA ASHITAKIWA KWA KUKUSUDIA KUUA

Uganda baby torture
Jolly Tumuhirwe, house girl,akionekana katika mkanda wa video  kumuadhibu mtoto kwa tochi, amewekwa rumande gereza la Luzira . Jolly Tumuhirwe ameshtakiwa kwa makosa ya kukusudia kuua baada ya kumpiga vibaya mtoto wakati akimnywesha uji, alimpiga kwa mateke na kumsigina kiasi cha kumsababishia maumivu makali.Fred Enanga Msemaji wa Jeshi la Polisi anasema kwamba mashitaka sasa yamebadilishwa na kuwa kusudio la kuua badala mamashitaka ya utesaji ya hapo awali.

No comments:

Post a Comment