PICHA ZA TUKIO LA KUANGUKA KWA NDEGE NDOGO(CHOPA) ENEO LA UKONGA JIJINI DAR ES SALAAM
Vikosi vya ulinzi na uokoaji vilikuwepo eneo la tukio katika ajali ya ndege ndogo iliyoanguka maeneo ya karibu na barabara ya Moshi Bar, Ukonga Jijini Dar es Salaam leo asubuhi, watu watatu waliokuwamo kwenye ndege hiyo inasemekana wameaga dunia
No comments:
Post a Comment