Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji
Diodorus Kamala aliyeongoza jopo la wadau wa sekta ya usafirishaji na
wafanyabiashara waliotembelea nchini kuanzia Novemba 22- 29 akizungumza
kwenye Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) leo
asubuhi, kulia kwake ni Meneja wa Kampuni ya Ujenzi ya BS Solutions.
Jopo hilo liko nchini kuangalia fursa za uwekezaji nchini. Ujumbe huo
ulitoa mada kuhusu ujenzi wa nyumba kwa kutumia teknolojia rahisi ya
kuunganisha na mabati maalumu ambao hutumia muda mfupi na kuwa nafuu kwa
gharama. Picha zote za NHC.
Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji
Diodorus Kamala aliyeongoza jopo la wadau wa sekta ya usafirishaji na
wafanyabiashara waliotembelea nchini kuanzia Novemba 22- 29 akizungumza
kwenye Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) leo
asubuhi, kulia kwake ni Meneja wa Kampuni ya Ujenzi ya BS Solutions, Ing
Jean Noel Galasse. Jopo hilo liko nchini kuangalia fursa za uwekezaji
nchini.
Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji
Diodorus Kamala aliyeongoza jopo la wadau wa sekta ya usafirishaji na
wafanyabiashara waliotembelea nchini kuanzia Novemba 22- 29 akizungumza
kwenye Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) leo
asubuhi, kulia kwake ni Meneja wa Kampuni ya Ujenzi ya BS Solutions, Ing
Jean Noel Galasse. Jopo hilo liko nchini kuangalia fursa za uwekezaji
nchini.
No comments:
Post a Comment