Mwenyekiti
wa Tume ya Umoja wa Afrika Nkosazana Dlamini-Zuma ametangaza mjini
Addis Ababa, Ethiopia kuundwa kwa kikosi cha kimataifa kwa kuanzisha
vita dhidi ya Boko Haram.
Uamuzi wa
pamoja umechukuliwa na Umoja wa Afrika wakati wa kikao chake cha Baraza
la amani na usalama Alhamisi Januari 29 jioni mjini Addis Ababa,
Ethiopia na kuhudhuriwa na zaidi ya marais kumi na tano.
Rais wa
Nigeria Goodluck Jonathan na rais wa Cameroon Paul Biya hawakushiriki
kikao hicho. Umoja wa Afrika unaunga mkono kikosi cha kimataifa cha
wanajeshi 7500
No comments:
Post a Comment