MwanasheriaMkuu wa Serikali George Masaju akizungumza Bugeni Mjini Dodoma.
Waziri wa Mambo ya Ndani,Mathias Chikawe akiwasilisha taarifa ya serikali Bungeni Mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijibu Maswali Bungeni Mjini Dodoma.
Waziri mkuu, Mizengo Pinda
akizungumza na Maofisa wa Juu wa Benki ya NMB kwenye makazi yake mjini
Dodoma . Kutoka kushoto ni Tom, Borghols, Richard
Makungwa na Joseline Kamuhanda.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda
akizungumza na Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania
(KKKT), Dayosisi ya Morogoro, Jacob Mameo kwenye viwanja vya Bunge Mjini
Dodoma.
No comments:
Post a Comment