26 Januari 2015 Imebadilishwa mwisho saa 16:01 GMT
Siku
mbili baada ya rais wa Tanzania Jakaya Kikwete kufanya mabadiliko
kwenye baraza la mawaziri,kumekuwepo hisia tofauti kufuatia mabadiliko
hayo ambapo hii ni mara ya saba kwa Rais huyo kupangua baraza la
mawaziri katika kipindi cha miaka kumi aliyokaa madarakani.Kutoka Dar es
Salaam,mwandishi wetu Tulanana Bohela ametuandalia taarifa ifuatayo.
No comments:
Post a Comment