Wana wawili wa aliyekuwa Rais wa
Misri Hosni Mubarak wameachiliwa kutoka jela, miaka minne baada ya
kukamatwa na kuzuiliwa kwa pamoja na baba yao. Wakuu wa gereza wanasema kuwa Gamal na Alaa Mubarak wote wanabiashara maarufu waliachiliwa mapema leo Jumatatu.Juma lililopita mahakama iliamuru kuachiliwa kwao huku kesi dhidi yao kuhusu ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma, ikiendelea.
No comments:
Post a Comment