Mkurugenzi
Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk.Hellen
Kijo-Bisimba (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa
habari Dar es Salaam leo asubuhi, wakati akitoa taarifa kuhusu
changamoto za utekelezaji wa sheria ya kura ya maoni ya Katiba. Kulia ni
Mratibu wa Katiba wa LHRC, Anna Henga na Mkurugenzi wa Fedha na
Utawala, Ezekiel Massanja.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo
Wapiga picha na wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa hiyo.


No comments:
Post a Comment