| Meneja Masoko wa Vodacom Tanzania Kanda ya Ilala George Venanty (wa pili toka kulia) akifafanua jambo kwa wafanyakazi wenzake wakati wa kutoa elimu ya promosheni ya Jaymillions kwa wateja wa kampuni hiyo na wananchi kwa ujumla. Ili mteja kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno Jay kwenda 15544. |
| Muuza magazeti wa Kariakoo jijini Dar es Salaam, Ally Hamis (kulia) akifafanuliwa jambo na Meneja Biashara wa M-pesa Noel Mazoya kuhusiana na promosheni ya JayMillions wakati wafanyakazi wa kampuni hiyo walipoenda mitaani kutoa elimu kwa wateja wa kampuni hiyo kuhusiana na promosheni hiyo. Ili mteja kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno Jay kwenda 15544. |
| Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakipita katika mitaa ya Kariakoo kutoa elimu ya promosheni ya Jaymillions kwa wateja wa kampuni hiyo na wananchi kwa ujumla. Ili mteja kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno Jay kwenda 15544. |
| Wakazi wa Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam, Swalehe Hashim (kushoto) Juma Abdallah (kulia) na Hassan Mng’ake (wa pili toka kulia) wakimsikiliza Ofisa Huduma na Bidhaa wa Vodacom Tanzania, Prestin Lyatonga akielezea jinsi ya kujua kama wameshinda kupitia promosheni ya JayMillions, wakati wafanyakazi wa kampuni hiyo walipoenda mitaani kutoa elimu kwa wateja wa kampuni hiyo kuhusiana na promosheni hiyo. Ili mteja kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno Jay kwenda 15544. |


No comments:
Post a Comment