KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

February 21, 2015

KUSHEHEREKEA MIAKA 38 YA KUZALIWA KWA CCM MGENI RASMI RIDHIWANI KIKWETE AINGIA NEW YORK



Mh. Ridhiwani akifurahia jambo na wenyeweji wake uwanjani hapo baada ya kupokelewa. Kwa Picha zaidi nenda soma zaidi.
MH. Ridhiwani Kikwete akiwa na wenyeji wake viongozi wa Tawi la CCM New York wakiongozwa na Mwenyekiti wa tawi Bwana Seif Akida Baada ya kumpokea Uwanja wa Ndege wa JFK tayari kwa Sherehe za Miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM kesho mambo ya meiva kazi kwenu Watanzania wote popote mlipo Mnaombwa kujitokeza kwa nguvu na umoja hiyo kesho  siyo Chadema wala  CUF  Utanzania kwanza kuanzia saa  12 jioni hadi majogoo kula kunywa na kucheza kwa Dollar 40 tu...
Kwa picha Zaidi tembelea http://tembaphoto.com/

No comments:

Post a Comment