Mwakilishi
Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (HWO) nchini, Rutaro Chatora (kulia),
akimkabidhi Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan
Mmbando, moja ya kompyuta na baadhi ya vifaa tiba vyenye thamani ya dola
za Marekani 46,000 vilivyotolewa na WHO kwa Serikali ya Tanzania Dar es
Salaam leo, kwa ajili ya maandalizi ya udhibiti wa magonjwa ya
kuambukiza na ebola.
Mwakilishi
Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (HWO) nchini, Rutaro Chatora (kulia),
na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando
wakitiliana saini za makabidhiano ya vifaa hivyo.
Mwakilishi
Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (HWO) nchini, Rutaro Chatora (kulia),
na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando
wakibadilishana hati baada ya kusaini makabidhiano ya vifaa hivyo.


No comments:
Post a Comment