KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 4, 2015

TTCL YATOA MSAADA KWA YATIMA CHAMAZI

Meneja wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) Mkoa wa Dar es Salaam Kusini, Adolf Matondo (kulia) akizungumza kabla ya kukabidhi sehemu ya msaada kwa watoto wa kituo cha watoto yatima kilichopo Mbagala, Chamazi jijini maarufu kwa jina la 'Yatima Group Trust Fund'. Kushoto ni MKuu wa Kituo hicho, Wilfrida Lubanza.
Meneja wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) Mkoa wa Dar es Salaam Kusini, Adolf Matondo (kulia) akizungumza kabla ya kukabidhi sehemu ya msaada kwa watoto wa kituo cha watoto yatima kilichopo Mbagala, Chamazi jijini maarufu kwa jina la ‘Yatima Group Trust Fund’. Kushoto ni MKuu wa Kituo hicho, Wilfrida Lubanza.
Picha ya pamoja na watoto wa kituo cha watoto yatima kilichopo Mbagala, Chamazi baada ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kukakabidhi sehemu ya msaada kwa watoto hao jana jijini Dar es Salaam.
Picha ya pamoja na watoto wa kituo cha watoto yatima kilichopo Mbagala, Chamazi baada ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kukakabidhi sehemu ya msaada kwa watoto hao jana jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment