KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 7, 2015

ZIMAMOTO IRINGA WATOA MISAADA KWA WATOTO YATIMA

1
Kamanda wa jeshi la zimamoto mkoa wa iringa akikabidhi mbuzi kwa kaimu mkuu wa kituo cha Sister Theresa, Sister Sister  Winfrida Mhongole  katika makabidhiano yaliyofanyika kituoni hapo.
2
Kamanda wa Zimamoto akiwa na mmoja wa watoto wanaolelewa na kituo hicho cha sister Theresa.
3
Mmoja wa Askari wa jeshi la Zimamoto Eshter Aidan akiwa na watoto wanaolelewa katika kituo cha sister Theresa.                                            

No comments:

Post a Comment