Baadhi ya wanahabari mkoa wa Iringa wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa jeshi la polisi mkoa wa Iringa mara baada ya kumalizika kikao chao cha mahusiano mema na kutambulishana kati ya wanahabari na viongozi wapya wa jeshi la Polisi waliokaa ni kamanda wa polisi Ramadhan Mungi wa tatu kushoto akifuatiwa na mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari mkoa wa Iringa (IPC) Frank Leonard na katibu wa IPC Francis Godwin na maofisa wengine wa polisi mkoa wa Iringa |
Kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Ramadhan Mungi akitoa mafunzo mafupi kwa wanahabari kati ya utendaji kazi wa jeshi la polisi na vyombo vya habari |
Wanahabari wakiwa katika kikao na jeshi la polisi |
No comments:
Post a Comment