KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

June 19, 2015

BALOZI CHOKALA ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS KUPITIA CCM

Balozi, Patrick Chokala akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) leo katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam.

Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii
Mwandishi wa Habari wa Rais wa awamu ya Pili, BaloziPatrick Chokala ametangaza nia ya kugombea urais ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ili aweze kupeperusha bendera hiyo katika uchaguzi mkuu ujao mwaka huu.

Akizungumza na waandishi wa habari leo katika Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es Salaam, Balozi Chokala amesema umefika wakati wa kurejesha haki kwa wananchi ili wawe na imani na uongozi na pia kuwa na ari ya kuleta maendeleo.

Amesema katika kutekeleza miradi inapaswa kutumia watalaam wa elimu ya jamii kikamilifu kabla ya kutekeleza kama mradi wa gesi ambao ilileta vurugu katika mikoa ya Kusini wakati serikali ilikuwa ina nafasi ya kuelewesha wananchi.

No comments:

Post a Comment