![]() |
| Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji(EWURA) Bw. Felix Ngamlagosi (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Umeme kutoka mamlaka hiyo, Anastas Mbawalla . |
![]() |
| Mkurugenzi wa Umeme kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji(EWURA) , Anastas akifafanua jambo kwa waandishi wa habari leo kuhusu kitabu cha mikataba ya kuuziana umeme ambacho alishiki kukiandika. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Bw. Felix Ngamlagosi. |
![]() |
| Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji(EWURA) Bw. Felix Ngamlagosi (kushoto) akionesha tuzo ya mdhibiti bora wa mwaka wa nishati iliyotolewa kwa mamlaka hiyo na Jukwaa la Nishati Afrika wakati akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Umeme kutoka mamlaka hiyo, Anastas Mbawalla . |





No comments:
Post a Comment