KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

June 12, 2015

WALIMU WAKATAA KURUDI KAZINI


Walimu ambao walilitoroka eneo la kazkazini mashariki mwa Kenya wakihofia mashambulizi kutoka kwa kundi la wapiganaji wa Al shabaab wamekataa kurudi eneo hilo.     

Mwandishi wa BBC Bashkas Jugsodaay alielezea katika kipindi cha Newsday kwamba asilimia 60 ya walimu hawatoki katika eneo hilo na waliokwenda likizo wengi wamekataa kurudi.

Ameelezea kuwa takriban walimu 2000 wamelitoroka eneo hilo na kwamba nusu ya idadi ya shule za eneo hilo zimefungwa.
Amesema kuwa wafanyikazi wa uma pia wamelitoroka eneo hilo.

SOURCE: BBC SWAHILI
 

No comments:

Post a Comment