Baadhi ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar walioungana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapiduzi
Dk.Ali Mohamed Shein katika sherehe za uzinduzi wa Mradi wa Maji safi
na salama katika kijiji cha Taif Wete Pemba,ambao unafadhiliwa na Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) wakiangalia ratiba ya sherehe hiyo iliyofanyika leo.
|
No comments:
Post a Comment