KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

September 21, 2015

WAMERUDI ... HII NI BAADA YA 'KIFUNGO'

Saed Kubenea, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Hali Halisi Publishers LTD, inayochapisha na kusambaza gazeti la MwanaHALISI akionesha waandishi wa habari (hawapo pichana) nakala ya gazeti la MwanaHALISI litakalotoka kesho.
Saed Kubenea, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Hali Halisi Publishers LTD, inayochapisha na kusambaza gazeti la MwanaHALISI akionesha Waandishi wa habari (hawapo pichana) nakala ya gazeti la MwanaHALISI lililotoka leo.  Kwa mujibu wa Meneja Mkuu wa Hali Halisi Publishers (HHPL) inayomiliki na kuchapisha gazeti hilo, Robert Katula nakala moja ya gazeti itauzwa kwa Sh. 1,000.
         “Tumeamua kuongeza kidogo bei kwa sababu mbalimbali lakini. Kubwa zaidi ni kupanda kwa kasi kwa gharama za uchapishaji,” amesema Katula.

No comments:

Post a Comment