KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

December 3, 2015

BREAKING NEWS: PROFESA LIPUMBA AFUTIWA KESI LEO

Profesa Ibrahim Lipumba ambaye alikuwa Mwenyekiti wa CUF na aliyekuwa akikabiliwa na kesi pamoja na wafuasi 30 wa CUF katika Mahakama ya Kisutu Dar es Salaam akidaiwa  kufanya mkusanyiko bila ya kuwa na kibali cha Polisi, amefutiwa mashitaka na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Kesi hiyo imefutwa rasmi leo  baada  ya DPP kuileleza mahakama kuwa hana nia tena ya kuendelea na kesi hiyo. 
Lipumba alijiweka kando na CUF baada ya Umoja wa Ukawa kumkaribisha Edward Lowassa kugombea nafasi ya Urais kwa tiketi ya Chadema, haya hiyo katika Uchaguzi huo, Dkt.John Pombe Magufuli aliibuka kidedea.

No comments:

Post a Comment