KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

January 7, 2016

RAIS AFANYA ZIARA KISIWANI PEMBA KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO

http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2016/01/H1.jpg

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akitoa ushauri  kwa Mkandarasi  wa  Kampuni ya NOWE INVESTMENT CO.LTD inayojenga Machinjio ya Ngo’mbe Elimeka Shumu(wa tatu kulia) wakati alipotembelea machinjio hayo leo Wesha Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba ikiwa katika shamra shamra za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar(kulia) Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mohamed Aboud Mohammed,
[Picha zote na Ikulu.]
H2
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akipata maelezo kutoka kwa Mkandarasi  wa Kampuni ya NOWE INVESTMENT CO.LTD Elimeka Shumu (kushoto) inayofanyia matengenezo  Ofisi ya Baraza la Mji wa Chake chake   wakati alipotembelea maendeleo ya ujenzi huo leo  Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba ikiwa katika shamra shamra za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar(kulia) Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mohamed Aboud Mohammed.
H3
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akifuatana na Mkuu wa Mkoa Kusini Pemba Mwanajuma Majid(kushoto) Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mohamed Aboud Mohammed(wa pili kulia) na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ Joseph Meza wakielekea kutembelea Ofisi ya Baraza la Mji wa Chake chake inayofanyia matengenezo Kampuni ya NOWE INVESTMENT CO.LTD  ya Dar es Salaam,ikiwa katika shamra shamra za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

No comments:

Post a Comment