KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

February 18, 2016

FEDHA ZA UMEME ZIPO-SERIKALI


um1
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (mbele katikati), akiongea jambo wakati wa kikao kati yake na wawekezaji katika Sekta ya Nishati, katika Ukumbi wa Tanesco, Jijini Dar es Salaam. Kulia kwa Waziri ni Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Julieth Kairuki.
um2
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, akiongea jambo na baadhi ya wawekezaji mara baada ya kikao chake na wawekezaji ambao wameonesha nia kuwekeza katika vyanzo mbali mbali vinavyopatikana nchini na baadhi wamefika kupata taarifa kuhusu uwekezaji.
um3
Baadhi ya Watendaji kutoka Taasisi zilizo chini ya Wizara na Maafisa kutoka Wizarani wakifuatilia kikao kati ya Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Muhongo na Wawekezaji katika Sekta ya Nishati,
um4
Baadhi ya Wawekezaji wakiwasilisha taarifa zao za uwekezaji kwa Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (hayupo pichani). Baadhi ya maswali ambayo Profesa alihoji kutoka kwa wawekezaji hao wao ni uwezo wao kifedha, kiteknolojia,utaalam na uzoefu wa kazi katika vyanzo walivyochagua kuwekeza nchini.

No comments:

Post a Comment