
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Rais wa Uganda
Yoweri Museven baada ya kuwasili katika Hoteli ya Ngurdoto Mkoani
Arusha palipofanyika mkutano wa 17 wa Nchi za Afrika ya Mashariki
EAC,(kulia) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe
Magufuli,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein baada ya kuwasili
katika Hoteli ya Ngurdoto Mkoani Arusha palipofanyika mkutano wa 17 wa
Nchi za Afrika ya Mashariki EAC,[Picha na Ikulu.]
Viongozi wakuu wa Nchi za Afrika
ya Mashariki wakisimama wakati wimbo wa umoja wa nchi hizo ukipigwa
katika mkutano wa 17 wa EAC uliofanyika leo ukumbi wa Ngurdoto mkoani
Arusha,[Picha na Ikulu.]
Miongoni mwa Mawaziri wa Serikali
ya Mapinduzi ya Zanzibar na Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
walioalikwa katika mkutano wa 17 wa Viongozi wakuu wa nchi za Afrika ya
Mashariki EAC uliofanyika leo ukumbi wa Ngurdoto Hotel Mkoani
Arusha,(katikati) Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora
Dkt.Mwinyihaji Makame Mwadini,akiwa na Mawaaziri wa Nchi za Jumuiya
hiyo,{Picha na Ikulu.]
No comments:
Post a Comment